| Sophia Mateo Mkazi wa Bunju: Katiba ipige marufuku ubakaji wa watoto. Sophia Mateo a resident of Bunju: The Constitution should ban child rape |
| Sophia Seme mkazi wa Bunju: Muungano wetu umekuwa mfano bora Barani Afrika, nataka uendelee kama ulivyo: Our union with Zanzibar has been a good example in Africa, I suggest it to remain as it is. |
| Ally Chambuso mkazi wa Bunju: Wageni wasipewe maeneo ambayo wananchi wanakaa au kuyatumia: The Constitution should prohibit investors to be given the areas used by the citizen |
| Mkazi wa Bunju akitoa maoni yake ya Katiba |
| Mikidadi Likunguni |
| Joseph Matonya |
| Wakazi wa Kata ya Bunju wakifuatilia na kushiriki katika utoaji wa maoni ya Katiba Mpya. The residents of Bunju Ward are participating in the meeting of Constitutional Review Commission |
No comments:
Post a Comment