Wednesday, December 5, 2012

Wananchi wa Dar es Salaam wakitoa maoni yao ya katiba

Wakazi wa Sinza wakitoa maoni yao katiba.

Wakazi wa Sinza wakifuatilia kwa makini utoaji wa maoni

Wasanii wakitumbuiza kwenye mkutano wa katiba katika kata ya Saranga Jijini Dar es Salaam

Maji yakipotea hovyo kutokana na kupasuka kwa bomba karibu na ofisi za Kata ya Saranga

Mwalimu Sophia Mshanga: Kuwe na idadi maalumu ya wizara

No comments:

Post a Comment