Monday, December 10, 2012

WAKAZI WA MABIBO/MABIBO RESIDENTS

Dk Salim Ahmed Salim akizungumza na wakazi wa Kata ya Mabibo Jijini Dar es Salaam. Amewataka wananchi kuepuka ushabiki wa kidini au kisiasa katika kutoa maoni yao. Dr Salim Ahmed Salim talks to the Mabibo residents; He wanted them to avoid religious and or political  fanaticism in their opinion

Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume akiwapatia katiba na vipeperushi wanafunzi wa Sekondari ya Loyola.

Kurusumu Peter akitoa maoni yake mbele ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Twahili Mwinyi Mkuu akishiriki kutoa maoni yake ya Katiba

Wakazi wa Mabibo wakishiriki kutoa maoni yao ya katiba

No comments:

Post a Comment