Saturday, January 12, 2013

MAKUNDI MAALUMU KATIBA

Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Askofu Severine Niwemugize wa Jimbo Katoliki la Rulenga-Ngara akiwaeleza waandishi wa habari kuwa Ubalozi wa Vatican kuwepo hapa nhcini ni halali kwa kuwa Vatican ni nchi kamaili ndani ya Italia. The Deputy President of Tanzania Episcopal Conference, His Lordship Bishop of Rulenge-Nghara Severine Niwemugizi told journalists yesterday in Dar es Salaam that it is the right for the Pope's Ambassador to be in Tanzania because Vatican is an independent country within Italy.

Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akibadilishana mawazo na Mh Andrew Chenge nje ya viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam mara baada ya kutoka kuwasilisha maoni yao ya Katiba Mpya. Hon Kingunge Mwiru and Hon Andrew Chenge exchange ideas at Karimjee after they had presented their opinion on the New Constitution.

Mwenyekiti, Wajumbe wa Tume ya Katiba wakiwa kwenye picha ya ukumbusho na Mwenyekiti wa DP Mchungaji Christopher Mtikila kwenye Makao ya Tume ya Katiba

No comments:

Post a Comment