Tuesday, January 15, 2013

WAKUU WA MIKOA

Wakuu wa Mikoa wakibadilishana mawazo mara baada ya kutoka kutoa maoni yao ya Katiba Mpya kwenye Makao Makuu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro akiwaeleza Waandishi wa Habari kuwa wamependekeza Tume izingatie kuyafanyia kazi maoni yote Watanzania waliyoyatoa ya Katiba Mpya

No comments:

Post a Comment