Sunday, December 2, 2012

Wakazi wa Kawe/Kawe Residents

Abdi Hamisi: Nataka Muungano wa mkataba

Germinus Nyeho: Kiswahili iwe lugha ya kufundishia kwenye shule na vyuo vyote nchini

Esther Mkwizu M/kiti Tume: Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Sura ya 83 inawataka wananchi kutoa maoni yenu kwa uhuru, msiwe na hofu

Wakazi wa Kata ya Kawe Jijini Dar es Salaam wakishiriki kutoa maoni yao

Sharifa Ngogoro: Katiba ilinde haki za wanawake kwenye suala la mirathi, wanaonewa sana

Vicent Mayunga: Polisi wanafanyakazi za ajabu, wananyanyasa wananchi, Katiba iliangalie suala hilo

No comments:

Post a Comment