Friday, December 7, 2012

Wakazi wa Kata ya Manzese Jijini Dar es Salaam

Abdullah Hamisi: Sherehe za mitaani pamoja na baa vinaharibu maadili ya watoto, Katiba ipige marufuku. The new constitution has to prohibit night celebrations in our streets, they are the source for ethical violation to our children

Yahya Ndyema: Serikali, Bunge na Polisi wanaongoza kuvunja haki za binadamu nchini, Katiba iwalinde wananchi. The government, the Parliament and the Police Force are greatly violating human rights; I suggest the new constitution has to stop it.

Wakazi wa Kata ya Manzese Jijini Dar es Salaam wakishiriki kutoa maoni yao. The residents of Manzese in Dar es Salaam are participating in constitutional review meeting.

Wakazi wa Manzese wakifuatilia kwa karibu utoaji wa maoni ya katiba mpya. Manzese residents are closely making a follow up to the constitutional review meeting.

Wakazi wa Manzese wakishiriki kutoa maoni ya katiba kwa njia ya maandishi. Some residents of Manzese are offering their opinion in writing

Wakazi wa Manzese wakifuatilia utoaji maoni. Manzese residents

No comments:

Post a Comment