Tuesday, January 15, 2013

WAKUU WA MIKOA

Wakuu wa Mikoa wakibadilishana mawazo mara baada ya kutoka kutoa maoni yao ya Katiba Mpya kwenye Makao Makuu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro akiwaeleza Waandishi wa Habari kuwa wamependekeza Tume izingatie kuyafanyia kazi maoni yote Watanzania waliyoyatoa ya Katiba Mpya

Saturday, January 12, 2013

DEUS KIBAMBA

Mkurugenzi wa Kituo cha Taarifa kwa Wananchi, Deus Kibamba akieleza namna Katiba inavyoweza kuboresha uhuru wa kupata habari kwa wananchi na vyombo vya habari.



MAKUNDI MAALUMU KATIBA

Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Askofu Severine Niwemugize wa Jimbo Katoliki la Rulenga-Ngara akiwaeleza waandishi wa habari kuwa Ubalozi wa Vatican kuwepo hapa nhcini ni halali kwa kuwa Vatican ni nchi kamaili ndani ya Italia. The Deputy President of Tanzania Episcopal Conference, His Lordship Bishop of Rulenge-Nghara Severine Niwemugizi told journalists yesterday in Dar es Salaam that it is the right for the Pope's Ambassador to be in Tanzania because Vatican is an independent country within Italy.

Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akibadilishana mawazo na Mh Andrew Chenge nje ya viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam mara baada ya kutoka kuwasilisha maoni yao ya Katiba Mpya. Hon Kingunge Mwiru and Hon Andrew Chenge exchange ideas at Karimjee after they had presented their opinion on the New Constitution.

Mwenyekiti, Wajumbe wa Tume ya Katiba wakiwa kwenye picha ya ukumbusho na Mwenyekiti wa DP Mchungaji Christopher Mtikila kwenye Makao ya Tume ya Katiba

Monday, December 17, 2012

MAITI YA MTOTO YAOKOTWA

Wakazi wa Mabibo Farasi Jijini Dar es Salaam wakiangalia kwa hudhuni maiti ya mtoto mchanga aliyetupwa pembeni ya mfereji wa maji unaopita eneo hilo siku ya Jumamosi. Kifo cha mtoto huyu anayekadiriwa kuwa na umri wa miezi 5 kinadhaniwa kusababishwa na utoaji mimba. Polisi walifika na kuuchukua huku muhusika akiendelea kusakwa. The residents of Mabibo Farasi in Dar es Salaam are looking at the body of a child of about 5 months old. Her death is associated with abortion. The police officers collected the body.

Hivi ndivyo haki ya kuishi inavyokiukwa. That is how the right to life is violated.

JOHN MNYIKA/CHADEMA MP FROM UBUNGO

Mbunge wa Ubungo John Mnyika akiwahutubia wananchi wa Kijitonyama Jijini Dar es Salaam. Amewaambia kuwa maana ya Nguvu ya Umma ni kuutumikia umma na siyo kuutumikisha umma. The Ubungo MP John Mnyika is addressing CHADEMA Members at public meeting at Kijitonyama in Dar es Salaam yesterday. He told people that Peoples' Power slogan aims at serving people not otherwise.





MKUTANO WA CHADEMA/CHADEMA MEETING

Kijana akichezea na moto kwenye  mkutano wa Chadema uliofanyika jana kwa Alimau 'A' Jijini Dar es Salaam. The young man is playing with fire in Dar es Salaam when Chadema held their meeting at Kijitonyama yesterday.

Akishika moto kwa mikono kwa staili ya kuunawa. He is touching fire with his  hands.

Mchezo ukiendelea. The show continues.

Ameuweka moto mfuko wa nyuma wa kaptura yake.  He put the burning fire on his back

Mambo hayo unayaweza? Don't try its risky







Ameamua kuula kabisa moto wake. At last he decided to eat it.

Thursday, December 13, 2012

Magari ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba yakiwa yamepaki kwenye viwanja vya shule ya msingi Makuburi. Leo Tume ilikuwa ikichukua maoni ya wakazi wa kata ya Makuburi