Friday, November 30, 2012

Maoni ya Katiba Mpya

Sophia Mateo Mkazi wa Bunju: Katiba ipige marufuku ubakaji wa watoto. Sophia Mateo a resident of Bunju: The Constitution should ban child rape

Sophia Seme mkazi wa Bunju: Muungano wetu umekuwa mfano bora Barani Afrika, nataka uendelee kama ulivyo: Our union with Zanzibar has been a good example in Africa, I suggest it to remain as it is.

Ally Chambuso mkazi wa Bunju: Wageni wasipewe maeneo ambayo wananchi wanakaa au kuyatumia: The Constitution should prohibit investors to be given the areas used by the citizen

Mkazi wa Bunju akitoa maoni yake ya Katiba

Mikidadi Likunguni

Joseph Matonya

Wakazi wa Kata ya Bunju wakifuatilia na kushiriki katika utoaji wa maoni ya Katiba Mpya. The residents of Bunju Ward are participating in the meeting of  Constitutional Review Commission

No comments:

Post a Comment