Monday, July 15, 2013

MAJAMBAZI WATEKA MABASI BIHARAMULO

Majambazi wapatao 10 wameyateka mabasi mawili ya kampuni za RS na NBS leo alfajiri na kuwapora abiria mali na fedha, pia askari aliyekuwa akiyasindikiza mabasi hayo naye ameporwa bunduki aliyokuwa nayo SMG namba 14302551; Kamanda Philip Kalangi (RPC) amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

No comments:

Post a Comment