| Hivi ndivyo haki ya kuishi inavyokiukwa. That is how the right to life is violated. |
Monday, December 17, 2012
MAITI YA MTOTO YAOKOTWA
JOHN MNYIKA/CHADEMA MP FROM UBUNGO
MKUTANO WA CHADEMA/CHADEMA MEETING
| Akishika moto kwa mikono kwa staili ya kuunawa. He is touching fire with his hands. |
| Mchezo ukiendelea. The show continues. |
| Ameuweka moto mfuko wa nyuma wa kaptura yake. He put the burning fire on his back |
| Mambo hayo unayaweza? Don't try its risky |
| Ameamua kuula kabisa moto wake. At last he decided to eat it. |
Thursday, December 13, 2012
Monday, December 10, 2012
WAKAZI WA MABIBO/MABIBO RESIDENTS
| Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume akiwapatia katiba na vipeperushi wanafunzi wa Sekondari ya Loyola. |
| Kurusumu Peter akitoa maoni yake mbele ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba. |
| Twahili Mwinyi Mkuu akishiriki kutoa maoni yake ya Katiba |
| Wakazi wa Mabibo wakishiriki kutoa maoni yao ya katiba |
Friday, December 7, 2012
Wakazi wa Kata ya Manzese Jijini Dar es Salaam
| Wakazi wa Kata ya Manzese Jijini Dar es Salaam wakishiriki kutoa maoni yao. The residents of Manzese in Dar es Salaam are participating in constitutional review meeting. |
| Wakazi wa Manzese wakifuatilia kwa karibu utoaji wa maoni ya katiba mpya. Manzese residents are closely making a follow up to the constitutional review meeting. |
| Wakazi wa Manzese wakishiriki kutoa maoni ya katiba kwa njia ya maandishi. Some residents of Manzese are offering their opinion in writing |
| Wakazi wa Manzese wakifuatilia utoaji maoni. Manzese residents |
Wakazi wa Kata ya Makongo-Dar es Salaam
| Ritha Mboto: Katiba ipige marufuku neno umasikini kwani Tanzania ni nchi tajiri. The New Constitution has to ban the word poverty in this country, Tanzania is not a poor country |
| Deus Mtiro: Ajira kwa wageni zipigwe marufuku, wazawa wapewe kipaumbele kwanza. Foreigners should not be given the first priority in employment, let the indigenous be the first. |
| Wakazi wa Kata ya Makongo wakisubiri kutoa maoni yao. The residents of Makongo Ward in Dar es Salaam are waiting to offer their opinion |
| Wakazi wa Kata ya Makongo wakifuatilia utoaji wa maoni ya Katiba Mpya. The Makongo residents. |
Wednesday, December 5, 2012
Wananchi wa Dar es Salaam wakitoa maoni yao ya katiba
| Wakazi wa Sinza wakitoa maoni yao katiba. |
| Wakazi wa Sinza wakifuatilia kwa makini utoaji wa maoni |
| Wasanii wakitumbuiza kwenye mkutano wa katiba katika kata ya Saranga Jijini Dar es Salaam |
| Maji yakipotea hovyo kutokana na kupasuka kwa bomba karibu na ofisi za Kata ya Saranga |
| Mwalimu Sophia Mshanga: Kuwe na idadi maalumu ya wizara |
Sunday, December 2, 2012
Redds Miss Tanzania: Brigitte Lymo
Wakazi wa Kawe/Kawe Residents
| Abdi Hamisi: Nataka Muungano wa mkataba |
| Germinus Nyeho: Kiswahili iwe lugha ya kufundishia kwenye shule na vyuo vyote nchini |
| Esther Mkwizu M/kiti Tume: Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Sura ya 83 inawataka wananchi kutoa maoni yenu kwa uhuru, msiwe na hofu |
| Wakazi wa Kata ya Kawe Jijini Dar es Salaam wakishiriki kutoa maoni yao |
| Sharifa Ngogoro: Katiba ilinde haki za wanawake kwenye suala la mirathi, wanaonewa sana |
| Vicent Mayunga: Polisi wanafanyakazi za ajabu, wananyanyasa wananchi, Katiba iliangalie suala hilo |
Subscribe to:
Comments (Atom)